Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Vita vya Urusi vyaiweka Chelsea FC pabaya

Ndani ya uwanjwa wa Stamford Bridge, Uwanja wa Chelsea FC

Ndani ya uwanjwa wa Stamford Bridge, Uwanja wa Chelsea FC Source: Getty Images

Vita vya Urusi dhidi ya Ukraine, vime anza kudai majeruhi ambao wako mbali na uwanja wa vita hivyo.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Vita vya Urusi dhidi ya Ukraine, vime anza kudai majeruhi ambao wako mbali na uwanja wa vita hivyo.


Moja ya majeruhi hao maarufu ni klabu ya mpira wa miguu ya Chelsea FC inayo milikiwa na Mrusi Roman Abramovich.

Imeripotiwa kuwa Bw Roman Abramovich ni mshiriki wakaribu wa Rais wa Urusi Vladimir Putin, hali ambayo imefanya serikali ya Uingereza iweke vikwazo kwa mali zote anazo miliki kote duniani Chelsea FC ikiwa moja yazo.

Mchambuzi wetu wa michezo Bw Herbert Gatamah, aliweka wazi madhara ya vikwazo hivyo, kwa Chelsea FC na hatma ya timu hiyo katika siku zijazo. Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now