Vita vya Urusi vyaiweka Chelsea FC pabaya

Ndani ya uwanjwa wa Stamford Bridge, Uwanja wa Chelsea FC

Ndani ya uwanjwa wa Stamford Bridge, Uwanja wa Chelsea FC Source: Getty Images

Vita vya Urusi dhidi ya Ukraine, vime anza kudai majeruhi ambao wako mbali na uwanja wa vita hivyo.


Moja ya majeruhi hao maarufu ni klabu ya mpira wa miguu ya Chelsea FC inayo milikiwa na Mrusi Roman Abramovich.

Imeripotiwa kuwa Bw Roman Abramovich ni mshiriki wakaribu wa Rais wa Urusi Vladimir Putin, hali ambayo imefanya serikali ya Uingereza iweke vikwazo kwa mali zote anazo miliki kote duniani Chelsea FC ikiwa moja yazo.

Mchambuzi wetu wa michezo Bw Herbert Gatamah, aliweka wazi madhara ya vikwazo hivyo, kwa Chelsea FC na hatma ya timu hiyo katika siku zijazo. Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service