Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

VIVA: Fanyia macho yako uchunguzi kabla hujachelewa sana

mwanaume afanyiwa uchunguzi wa macho

mwanaume afanyiwa uchunguzi wa macho Source: Getty Images/shaun

Sio kila mtu ana wakati wa macho yao kukaguliwa mara kwa mara.


Published

By Amy Chien-Yu Wang

Presented by Gode Migerano, Frank Mtao

Source: SBS



Share this with family and friends


Sio kila mtu ana wakati wa macho yao kukaguliwa mara kwa mara.


Kwa macho yanayohusika na shughuli zetu za kila siku, na asilimia tisini na tatu ya zaidi ya watu wenye umri wa miaka 55 wameathiriwa na shida ya kuona vizuri kwa muda mrefu, wataalam wanasema ni muhimu usiachie hadi kuchelewa sana.

Tembelea Vision Australia au kwa maelezo Zaidi juu ya upofu na uwezo mdogo wa kuona. Angalia mtandao wa Macular Disease Foundation kwa maelezo zaidi juu ya dalili za kuzorota kutokana na umri.

Unaweza kupata kujua zaidi kuhusu ugonjwa wa glaucoma kabla au wakati wa wiki ya before Glaucoma duniani ambayo ni kati ya tarehe 8 hadi 14 ya mwezi wa tatu yote hayo kupitia mtandao wa Glaucoma Australia.

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now