VIVA: Fanyia macho yako uchunguzi kabla hujachelewa sana

mwanaume afanyiwa uchunguzi wa macho

mwanaume afanyiwa uchunguzi wa macho Source: Getty Images/shaun

Sio kila mtu ana wakati wa macho yao kukaguliwa mara kwa mara.


Kwa macho yanayohusika na shughuli zetu za kila siku, na asilimia tisini na tatu ya zaidi ya watu wenye umri wa miaka 55 wameathiriwa na shida ya kuona vizuri kwa muda mrefu, wataalam wanasema ni muhimu usiachie hadi kuchelewa sana.

Tembelea Vision Australia au kwa maelezo Zaidi juu ya upofu na uwezo mdogo wa kuona. Angalia mtandao wa Macular Disease Foundation kwa maelezo zaidi juu ya dalili za kuzorota kutokana na umri.
 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
VIVA: Fanyia macho yako uchunguzi kabla hujachelewa sana | SBS Swahili