Vivo: Zuia ugonjwa wa dementia kwaku hakikisha afya ya ubongo

Mzee akagua tunda shambani

Mzee akagua tunda shambani Source: Getty Images

Je wajua ugonjwa wa kupungua kwa uwezo wa ubongo kukumbuka na kufikiri au dementia kwa kimombo, ume tabiriwa kuwa utakuwa sababu kuu ya kifo nchini Australia katika miaka michache ijayo.


Ugonjwa huo sugu huathiri mu Australia mmoja kati ya watu kumi wenye umri wa miaka 65 na zaidi.

Wakati hakuna tiba yaku ponya ugonjwa huo, mtaalam wa lishe ya wazee ana amini unaweza danganya kupungua kwa uwezo wa ubongo kukumbuka na kufikiri, kwa kula vyakula bora kwa ubongo.

Huenda bado tuna safari ndefu yaku pata tiba ya ugonjwa wa kupungua kwa uwezo wa ubongo kukumbuka na kufikiri. Ila kwa sasa, unaweza jifunza mengi kuhusu jinsi yaku ongeza afya ya ubongo wako kwaku tembelea tovuti ya maswala ya ubongo wako. Iwapo unataka taarifa ya ziada kuhusu jinsi yaku mudu maisha ukiwa na ugonjwa wa kupungua kwa uwezo wa ubongo kukumbuka na kufikiri, unaweza pigia simu shirika la Alzheimer’s Australia kwa namba hii: 1800 100 500 au tembelea tovuti yao: fightdementia.org.au

Unaweza pigia simu pia shirika la National Dementia Helpline kwa msaada wa huduma yawa kalimani kwa namba hii: 131 450.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service