Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Voller atoa ushahidi katika uchunguzi wa dhulma gerezani

Dylan Voller atoa ushahidi mbele ya tume ya uchunguzi katika mahakama kuu ya Wilaya ya Kaskazini
Dylan Voller atoa ushahidi mbele ya tume ya uchunguzi katika mahakama kuu ya Wilaya ya Kaskazini Source: Royal Commission

Tume ya uchunguzi kwa gereza za watoto katika wilaya ya kasakazini ime sikia ushahidi kuhusu jinsi mtoto mmoja alivyo nyimwa chakula na maji kama adhabu, pamoja nakulazimishwa kujisaidia ndaniya mto waku lalia.


Published

Updated

By SBS Swahili

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Tume ya uchunguzi kwa gereza za watoto katika wilaya ya kasakazini ime sikia ushahidi kuhusu jinsi mtoto mmoja alivyo nyimwa chakula na maji kama adhabu, pamoja nakulazimishwa kujisaidia ndaniya mto waku lalia.


Dylan Voller ni mfungwa wa zamani katika gereza la watoto la Don Dale ambalo liko mjini Darwin.

Dylan ni mmoja kati ya wafungwa kadhaa ambao, uchunguzi waki taifa ume anzishwa kuchunguza walivyo dhulumiwa gerezani.

Mvulana huyo mwenye umri wa miaka 19 ni mmoja wa mashahidi muhimu, baada ya taarifa za habari zilizo onesha akiadhibiwa kwa gesi yakutoa machozi, pamoja nakufungwa katika kiti akiwa amefunikwa kichwa.

 

 


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now