Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wapiga kura wampa Shorten ushindi wa mjadala wa kwanza

Prime Minister Scott Morrison and Opposition Leader Bill Shorten

Australia tus thawj pwm tsav Scott Morrison thiab Bill Shorten uas yog tus coj lwm pawg fai kum xeeb sib teev theev thawj zaug nrog 7 Network Source: AAP

Waziri Mkuu Scott Morrison na Kiongozi wa Upinzani Bill Shorten wame kabiliana (29 Aprili) kuhusu maswala kadhaa, katika mjadala wa kwanza wa viongozi wa uchaguzi mkuu wa shirikisho.


Published

By Murray Silby

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Waziri Mkuu Scott Morrison na Kiongozi wa Upinzani Bill Shorten wame kabiliana (29 Aprili) kuhusu maswala kadhaa, katika mjadala wa kwanza wa viongozi wa uchaguzi mkuu wa shirikisho.


Miongoni mwa wapiga kura 48 walio kuwa ndani ya chumba cha mjadala huo na, ambao walikuwa hawaja amua watakaye mpigia kura, wengi wao walisema Bw Shorten ndiye aliyeshinda mjadala huo.

Kabla ya mjadala huo kuanza, tume ya uchaguzi ya Australia, ilitangaza kuwa idadi ya watu takriban laki moja elfu 10, tayari wamepiga kura zao mapema (29Aprili) katika siku ya kwanza yakupiga kura mapema katika uchaguzi wa shirikisho wa 2019.

Wale ambao hawaja piga kura mapema tayari, wata tazama mjadala wa pili wa viongozi hao ijumaa tarehe 5 Mei mjini Brisbane, kwenye runinga yakulipia, wakati Bw Morrison anataka mjadala wa tatu ufanywe tarehe nyingine baada ya mjadala huo na wakati kila mtu anatazamiwa kutazama runinga.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now