Wachezaji wa PSG na Marseille wakunjana, adhabu kali zatarajiwa

Wachezaji wa PSG na Marseille wazichapa

Wachezaji wa PSG na Marseille wazichapa Source: The World Game

Mechi kati ya PSG na Marseille zime zua hisia mseto nchini Ufaransa kwa miaka mingi.


Watani hao walipoingia dimbani Jumapili, nidhamu na ustadi wakucheza soka uliwekwa kando. Badala yake wachezaji kadhaa walionekana kwenye runinga wakikunjana baada ya mmoja wao kuchezewa rafu.

Mchambuzi wetu mkuu wa michezo Frank Mtao, alizungumzia mechi hiyo pamoja na mechi za ligi zingine katika makala haya.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service