Mechi kati ya PSG na Marseille zime zua hisia mseto nchini Ufaransa kwa miaka mingi.
Watani hao walipoingia dimbani Jumapili, nidhamu na ustadi wakucheza soka uliwekwa kando. Badala yake wachezaji kadhaa walionekana kwenye runinga wakikunjana baada ya mmoja wao kuchezewa rafu.
Mchambuzi wetu mkuu wa michezo Frank Mtao, alizungumzia mechi hiyo pamoja na mechi za ligi zingine katika makala haya.
Share






