Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Waendesha magari kukabiliwa kwa ongezeko ya bei ya mafuta baada ya makato yamuda ya kodi ya mafuta kuisha

petrol prices

A person filling up their car with fuel . (AAP Image/James Gourley) NO ARCHIVING Source: AAP / AAP Image/James Gourley

Moja ya hatua ambayo imesaidia kupunguza gharama ya maisha, nikupunguzwa mara mbili kwa muda kwa kodi ya petroli.


Published

By Rayane Tamer, Gode Migerano, Sunil Awasthi

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Moja ya hatua ambayo imesaidia kupunguza gharama ya maisha, nikupunguzwa mara mbili kwa muda kwa kodi ya petroli.


Ila wakati mpangilio huo unakaribia isha, waendesha magari wa Australia wanajiandaa kukabiliwa kwa bei za juu za petroli.

Kwa miezi mitano iliyopita, gharama ya petroli nchini Australia ilipungua kwa sababu yamakato kwa kodi ya mafuta. Makato hayo yalitekelezwa na serikali yazamani, serikali hiyo ilikata kiwango cha kawaida cha kodi ya senti 44.2 kwa lita hadi senti 22.1 kwa lita.

Ila makato hayo yalikuwa yameratibiwa kudumu hadi 28 Septemba, na serikali mpya ya shirikisho imesema haita badili hali hiyo.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now