Waendesha magari kukabiliwa kwa ongezeko ya bei ya mafuta baada ya makato yamuda ya kodi ya mafuta kuisha

petrol prices

A person filling up their car with fuel . (AAP Image/James Gourley) NO ARCHIVING Source: AAP / AAP Image/James Gourley

Moja ya hatua ambayo imesaidia kupunguza gharama ya maisha, nikupunguzwa mara mbili kwa muda kwa kodi ya petroli.


Ila wakati mpangilio huo unakaribia isha, waendesha magari wa Australia wanajiandaa kukabiliwa kwa bei za juu za petroli.

Kwa miezi mitano iliyopita, gharama ya petroli nchini Australia ilipungua kwa sababu yamakato kwa kodi ya mafuta. Makato hayo yalitekelezwa na serikali yazamani, serikali hiyo ilikata kiwango cha kawaida cha kodi ya senti 44.2 kwa lita hadi senti 22.1 kwa lita.

Ila makato hayo yalikuwa yameratibiwa kudumu hadi 28 Septemba, na serikali mpya ya shirikisho imesema haita badili hali hiyo.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service