Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wafanyakazi wenye mishahara ya chini kupokea nyongeza yamalipo

Iain Ross, Rais wa Fair Work Australia, kwenye kikao.

Iain Ross, Rais wa Fair Work Australia, kwenye kikao. Source: AAP

Katika wiki mbili zijazo, idadi yawafanyakazi takriban milioni 2.7 wenye kima cha pato la chini kote nchini, wata shuhudia ongezeko katika mishahara yao.


Published

By Amelia Dunn

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Katika wiki mbili zijazo, idadi yawafanyakazi takriban milioni 2.7 wenye kima cha pato la chini kote nchini, wata shuhudia ongezeko katika mishahara yao.


Hatuo hiyo imejiri baada y tume ya usawa kazini, kuamuru kuwa kima cha pato la chini kitaifa litaongezeka kwa 5.2%, nakuonesha shinikizo za sasa kutoka mfumuko wa bei unao endelea kuongezeka.

Kwa muda mfupi, inatarajiwa kuwa shinikizo ya gharama ya maisha itaendelea kuuma.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now