Hatuo hiyo imejiri baada y tume ya usawa kazini, kuamuru kuwa kima cha pato la chini kitaifa litaongezeka kwa 5.2%, nakuonesha shinikizo za sasa kutoka mfumuko wa bei unao endelea kuongezeka.
Wafanyakazi wenye mishahara ya chini kupokea nyongeza yamalipo

Iain Ross, Rais wa Fair Work Australia, kwenye kikao. Source: AAP
Katika wiki mbili zijazo, idadi yawafanyakazi takriban milioni 2.7 wenye kima cha pato la chini kote nchini, wata shuhudia ongezeko katika mishahara yao.
Share