Wafanyakazi wenye mishahara ya chini kupokea nyongeza yamalipo

Iain Ross, Rais wa Fair Work Australia, kwenye kikao.

Iain Ross, Rais wa Fair Work Australia, kwenye kikao. Source: AAP

Katika wiki mbili zijazo, idadi yawafanyakazi takriban milioni 2.7 wenye kima cha pato la chini kote nchini, wata shuhudia ongezeko katika mishahara yao.


Hatuo hiyo imejiri baada y tume ya usawa kazini, kuamuru kuwa kima cha pato la chini kitaifa litaongezeka kwa 5.2%, nakuonesha shinikizo za sasa kutoka mfumuko wa bei unao endelea kuongezeka.

Kwa muda mfupi, inatarajiwa kuwa shinikizo ya gharama ya maisha itaendelea kuuma.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Wafanyakazi wenye mishahara ya chini kupokea nyongeza yamalipo | SBS Swahili