Wahanga wa mafuriko ya Queenslandld wafunguka kuhusu walivyo jinusuru

Easy French Ep91

Wakaaji watazama nyumba ambayo imezingirwa na mafuriko 27 February, 2022 katika kitongoji cha Goodna, magharibi ya mji wa Brisbane, Queensland. Source: AAP/Dan Peled/Getty Images

Vitongoji kadhaa vya jimbo la Queensland vimekuwa viki kabiliana na mafuriko katika siku chache zilizo pita ambayo kwa masikitiko yana endelea kudai maisha ya watu.


Bi Amina ni mkaaji wa kitongoji cha Goodna, siku chache zilizo pita hali mbaya ya hewa na ongezeko ya mafuriko, yali mlazimisha yeye na familia yake kuhama nyumba yao ghafla nakukimbilia kwa familia yao inayo ishi mbali kidogo ya eneo hilo la mafuriko.

Bw Blaise ni mkaaji wa Logan ambaye kwa mara nyingine amejipata katika hali tata kwa sababu ya mafuriko ambayo yamezingira kitongoji chake, nakufanya wakaaji wote wa eneo anako ishi kuwa kama wafungwa kwa sababu hakuna namna yakuingia au kuondoka katika eneo hilo kwa sababu ya wingi wa maji.

Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, wahanga hao wawili walitueleza masaibu wanayo kabiliana nayo, na jinsi wamejinusuru pamoja na hatua zingine wanazo endelea kuchukua kujinusuru kutoka janga hilo. Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Wahanga wa mafuriko ya Queenslandld wafunguka kuhusu walivyo jinusuru | SBS Swahili