Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wahanga wa mauaji ya Gatumba, waomba haki toka kwa jamii yakimataifa

Viongozi wa jamii yawanyamulenge

Viongozi wa jamii yawanyamulenge Source: Picha: SBS Swahili

Imekuwa miaka 13 tokea mauaji yakimbari ya wana jamii yawanyamulenge, ndani ya kambi ya umoja wa mataifa katika mji wa Gatumba, Burundi.


Published

Updated

By SBS Swahlii

Source: SBS



Share this with family and friends


Imekuwa miaka 13 tokea mauaji yakimbari ya wana jamii yawanyamulenge, ndani ya kambi ya umoja wa mataifa katika mji wa Gatumba, Burundi.


Miaka 13 baada ya mauaji hayo, wahanga na viongozi wa jamii hiyo, wana endelea kuwa shtumu baadhi ya wabunge wa Burundi kwaku amuru mauaji hayo, na wakati huo huo wana omba jamii yakimataifa iwatendee haki rafiki na jamaa wao walio uawa.

SBS Swahili ilizungumza na viongozi wa jamii hiyo, punde baada ya ibada maalum ya walio uawa.

 


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now