Wahanga wa mauaji ya Gatumba, waomba haki toka kwa jamii yakimataifa

Viongozi wa jamii yawanyamulenge

Viongozi wa jamii yawanyamulenge Source: Picha: SBS Swahili

Imekuwa miaka 13 tokea mauaji yakimbari ya wana jamii yawanyamulenge, ndani ya kambi ya umoja wa mataifa katika mji wa Gatumba, Burundi.


Miaka 13 baada ya mauaji hayo, wahanga na viongozi wa jamii hiyo, wana endelea kuwa shtumu baadhi ya wabunge wa Burundi kwaku amuru mauaji hayo, na wakati huo huo wana omba jamii yakimataifa iwatendee haki rafiki na jamaa wao walio uawa.

SBS Swahili ilizungumza na viongozi wa jamii hiyo, punde baada ya ibada maalum ya walio uawa.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service