Wakenya wajitokeza kunusuru familia mjini Sydney, Australia

Mgonjwa ahudumiwa ndani ya chumba cha upasuaji

Mgonjwa ahudumiwa ndani ya chumba cha upasuaji Source: Pixabay

Jamii yawakenya wanao ishi mjini Sydney, wanasifa ya ukarimu na mshikamano.


Sifa hiyo ilijaribiwa hivi karibuni, wanachama wa jamii hiyo walipo alikwa kusaidia familia yamkenya mwenza, ambayo imejipata chini ya shinikizo kubwa.

Ndugu na rafiki wa familia husika, wali fafanulia idhaa ya Kiswahili ya SBS, masaibu yanayo wakumba wapendwa wao.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Wakenya wajitokeza kunusuru familia mjini Sydney, Australia | SBS Swahili