Wakenya wapona moto wa vichaka jimboni New South Wales

Ndege yakabiliana na moto wa vichaka katika kitongoji cha Harrington, NSW

Ndege yakabiliana na moto wa vichaka katika kitongoji cha Harrington, NSW Source: AAP

Bernard na mkewe ni raia wa Kenya, wawili hao wame jikuta katikati ya janga la moto wa vichaka.


Bernard ali fafanulia Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yaliyo wafikia wakati moto wa vichaka ulipo tishia kumwangamiza yeye na mkewe, pamoja na nyumba yao katika kitongoji cha Harrington ambacho kiko kaskazini ya jimbo la New South Wales, Australia.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service