Wakenya wasifu uwazi wa uchaguzi mkuu

Mwongozo wa utaratibu wa upigaji kura wa Kenya

Ni nadra kwa tume ya uchaguzi ya Kenya, kusifiwa kwa jinsi ilivyo simamia uchaguzi mkuu.


Ila mwaka huu wadau wengi wame ipongeza tume ya uchaguzi ya Kenya, kwa jinsi ilivyo simamia uchaguzi mkuu licha ya matatizo kadhaa kuibuka.

Tume hiyo imepongezwa haswa kwa kuchapisha matokeo ya chaguzi kadhaa kwenye tovuti yake, ambako mtu yeyote ana uhuru waku yapakua naku yajumlisha kwa raha zake.

Bw George ni mfuasi wa mrengo wa Kenya Kwanza anaye ishi Australia, katika mahojiano maalum kuhusu uchaguzi mkuu wa Kenya aliweka wazi tofauti ya uchaguzi huu na uchaguzi mkuu wa 2017 ulio batilishwa na mahakama kuu ya Kenya. Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service