Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wakenya wasifu uwazi wa uchaguzi mkuu

Mwongozo wa utaratibu wa upigaji kura wa Kenya

Ni nadra kwa tume ya uchaguzi ya Kenya, kusifiwa kwa jinsi ilivyo simamia uchaguzi mkuu.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Ni nadra kwa tume ya uchaguzi ya Kenya, kusifiwa kwa jinsi ilivyo simamia uchaguzi mkuu.


Ila mwaka huu wadau wengi wame ipongeza tume ya uchaguzi ya Kenya, kwa jinsi ilivyo simamia uchaguzi mkuu licha ya matatizo kadhaa kuibuka.

Tume hiyo imepongezwa haswa kwa kuchapisha matokeo ya chaguzi kadhaa kwenye tovuti yake, ambako mtu yeyote ana uhuru waku yapakua naku yajumlisha kwa raha zake.

Bw George ni mfuasi wa mrengo wa Kenya Kwanza anaye ishi Australia, katika mahojiano maalum kuhusu uchaguzi mkuu wa Kenya aliweka wazi tofauti ya uchaguzi huu na uchaguzi mkuu wa 2017 ulio batilishwa na mahakama kuu ya Kenya. Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now