Wakimbizi wa Afghanistan wazua hisia mseto Uganda

Raia wa Afghanistan, wajaa ndani ya uwanja wakimataifa wa ndege wa Kabul, baada ya wanamgambo wa Taliban kuchukua utawala.

Ma elfu ya raia wa Afghanistan, wakimbilia msaada wa uhamisho kutoka jeshi la marekani katika uwanja wakimataifa wa Kabul, baada ya Taliban kuingia mamlakani. Source: AP Photo/Shekib Rahmani

Raia wa Afghanistan walio fanikiwa kuondolewa nchini na jeshi la Marekani, wame anza kuwasili katika nchi mbali mbali duniani kote.


Baadhi yao hivi karibuni waliwasili nchini Uganda, ambako imeripotiwa kuwa watahudumiwa kwa muda na shirika la wakimbizi la umoja wa mataifa kabla yakupewa uhamisho katika nchi zingine.

Hata hivyo ujio wa wakimbizi hao nchini Uganda, ume zua hisia mseto miongoni mwa waganda ambako baadhi yao wana endelea kuhoji sababu ya serikali yao kukubali kuwapokea wakimbizi hao licha ya umbali wa taifa lao na Afghanistan.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili kutoka kwa mwandishi wetu Jason Nyakundi.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service