Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wakimbizi wa Afghanistan wazua hisia mseto Uganda

Raia wa Afghanistan, wajaa ndani ya uwanja wakimataifa wa ndege wa Kabul, baada ya wanamgambo wa Taliban kuchukua utawala.

Ma elfu ya raia wa Afghanistan, wakimbilia msaada wa uhamisho kutoka jeshi la marekani katika uwanja wakimataifa wa Kabul, baada ya Taliban kuingia mamlakani. Source: AP Photo/Shekib Rahmani

Raia wa Afghanistan walio fanikiwa kuondolewa nchini na jeshi la Marekani, wame anza kuwasili katika nchi mbali mbali duniani kote.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Raia wa Afghanistan walio fanikiwa kuondolewa nchini na jeshi la Marekani, wame anza kuwasili katika nchi mbali mbali duniani kote.


Baadhi yao hivi karibuni waliwasili nchini Uganda, ambako imeripotiwa kuwa watahudumiwa kwa muda na shirika la wakimbizi la umoja wa mataifa kabla yakupewa uhamisho katika nchi zingine.

Hata hivyo ujio wa wakimbizi hao nchini Uganda, ume zua hisia mseto miongoni mwa waganda ambako baadhi yao wana endelea kuhoji sababu ya serikali yao kukubali kuwapokea wakimbizi hao licha ya umbali wa taifa lao na Afghanistan.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili kutoka kwa mwandishi wetu Jason Nyakundi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now