Wamiliki wajadi washerehekea miaka 35, tangu walipo rejeshewa haki zamiliki ya Uluru

Mlinzi Lynda Wright (kushoto) na Mwenyekiti wa baraza la Uluru-Kata Tjuta Sidney James (kulia) waamkiana baada yakutekelezwa kwa marufukuyakupanda Uluru

Mlinzi Lynda Wright (kushoto) na Mwenyekiti wa baraza la Uluru-Kata Tjuta Sidney James (kulia) waamkiana baada yakutekelezwa kwa marufukuyakupanda Uluru Source: AAP

Wamiliki wa jadi katika wilaya ya kaskazini, wanasherehekea miaka 35 tangu waliporejeshewa haki za ardhi ya Uluru.


Na mwaka huu kuna ongezeko la umuhimu kwa hoja hiyo, ni mwaka wa kwanza tangu watalii walipo pigwa marufuku kupanda eneo hilo takatifu.

Sherehe ndogo katika eneo la Uluru ilifanywa jumatatu 26 Oktoba, kuadhimisha miaka 35 yajamii ya eneo hilo, kurejeshewa haki zakumiliki ardhi hiyo, nakuwapa wageni mtazamo tofauti katikakati ya jangwa la kati.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service