Wamiliki wa jadi katika wilaya ya kaskazini, wanasherehekea miaka 35 tangu waliporejeshewa haki za ardhi ya Uluru.
Na mwaka huu kuna ongezeko la umuhimu kwa hoja hiyo, ni mwaka wa kwanza tangu watalii walipo pigwa marufuku kupanda eneo hilo takatifu.
Sherehe ndogo katika eneo la Uluru ilifanywa jumatatu 26 Oktoba, kuadhimisha miaka 35 yajamii ya eneo hilo, kurejeshewa haki zakumiliki ardhi hiyo, nakuwapa wageni mtazamo tofauti katikakati ya jangwa la kati.
Share






