Wanaharakati waishinikiza Australia iache kuwafunga watoto wenye miaka 10

Keenan Mundine anasema watoto hawastahili fungwa gerezani, na aliwasilisha hoja hiyo katika shirika la Umoja wa Mataifa. Source: Supplied
Australia bado inawaweka watoto wenye umri wa miaka 10 gerezani, licha ya kampeni ya muda mrefu yakuongeza umri wa uwajibikaji wa uhalifu.
Share