Wanamgambo wauwa wanafunzi 41 Uganda

UGANDA SCHOOL ATTACK

Relatives mourn outside a mortuary where bodies of victims of school attack were brought, in Mpondwe, Uganda, 18 June 2023. Source: EPA / LUKE DRAY/EPA/AAP Image

Wanamgambo wa kundi la ADF wenye uhusiano na kundi la Islamic State waliua wanafunzi 41 na kuteka nyara wengine sita katika shambulio kwenye shule kaskazini mwa Uganda karibu na mpaka na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, jeshi lilisema Jumamosi.


Wanajeshi walipata miili ya waliokufa walipofika shuleni, msemaji wa jeshi Felix Kulayigye alisema katika taarifa.

Kulayigye alisema mapema Jumamosi kwenye Twitter “Jeshi lilikuwa linamsaka adui ili kuwaokoa waliotekwa nyara na kuangamiza kundi hilo.”

Maafisa wa polisi na jeshi wanasema washambuliaji walikua watano na walitia moto bweni baada ya kupora chakula na vitu vingine .

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Wanamgambo wauwa wanafunzi 41 Uganda | SBS Swahili