Hatimae kampeni za uchaguzi mkuu wa Kenya zilizo dumu kwa muda mrefu zaidi katika historia zime isha.
Wanasiasa mbali mbali nchini Kenya, walitumia siku ya mwisho ya kampeni kujaribu kuwavutia wapiga kura ambao walikuwa hawaja fanya maamuzi ya watakaye pendelea debeni Jumanne 9 Agosti 2022.
Mwandishi wetu Jason Nyakundi alitathmini kampeni zote nchini Kenya pamoja na makala mengine kutoka Afrika Mashariki katika makala haya maalum.
Share






