Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wanasia wame uza sera, kazi sasa kwa raia debeni

Ikulu ya Kenya.jpg

Ikulu ya Kenya yamsubiri mpangaji mpya baada ya uchaguzi wa 9 Agosti 2022.

Hatimae kampeni za uchaguzi mkuu wa Kenya zilizo dumu kwa muda mrefu zaidi katika historia zime isha.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Hatimae kampeni za uchaguzi mkuu wa Kenya zilizo dumu kwa muda mrefu zaidi katika historia zime isha.


Wanasiasa mbali mbali nchini Kenya, walitumia siku ya mwisho ya kampeni kujaribu kuwavutia wapiga kura ambao walikuwa hawaja fanya maamuzi ya watakaye pendelea debeni Jumanne 9 Agosti 2022.

Mwandishi wetu Jason Nyakundi alitathmini kampeni zote nchini Kenya pamoja na makala mengine kutoka Afrika Mashariki katika makala haya maalum.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now