Wanasia wame uza sera, kazi sasa kwa raia debeni

Ikulu ya Kenya.jpg

Ikulu ya Kenya yamsubiri mpangaji mpya baada ya uchaguzi wa 9 Agosti 2022.

Hatimae kampeni za uchaguzi mkuu wa Kenya zilizo dumu kwa muda mrefu zaidi katika historia zime isha.


Wanasiasa mbali mbali nchini Kenya, walitumia siku ya mwisho ya kampeni kujaribu kuwavutia wapiga kura ambao walikuwa hawaja fanya maamuzi ya watakaye pendelea debeni Jumanne 9 Agosti 2022.

Mwandishi wetu Jason Nyakundi alitathmini kampeni zote nchini Kenya pamoja na makala mengine kutoka Afrika Mashariki katika makala haya maalum.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service