Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Vita vya maneno vya endelea kuhusu Syria

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron aki hotubia taifa

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron aki hotubia taifa Source: AAP

Marekani ime tangaza kuwa ita weka vikwazo vya ziada vyaki uchumi dhidi ya Urusi, kwa sababu ya msaada ambao Urusi ume mpa Rais wa Syria Bashar al-Assad pamoja na madai ya matumizi yake ya silaha za kemikali.


Published

Updated

By Evan Young

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Marekani ime tangaza kuwa ita weka vikwazo vya ziada vyaki uchumi dhidi ya Urusi, kwa sababu ya msaada ambao Urusi ume mpa Rais wa Syria Bashar al-Assad pamoja na madai ya matumizi yake ya silaha za kemikali.


Tangazo hilo lime tolewa baada ya Marekani, Ufaransa na Uingereza, kushambulia Syria kwa makombora, kwa sababu ya madai kuwa serikali ya Syra ilitumia silaha za kemikali katika shambulizi mjini Douma.

Naye rais wa urusi Vladimir Putin, ambaye ni mshiriki wa karibu wa rais Assad, ameonya kuwa mashambulizi ya ziada kutoka mataifa ya magharibi dhidi ya Syria, ita leta uharibifu katika maswala ya dunia.

Rais Putin pamoja na mshiriki wake wa Iran, Hassan Rouhani wamesema kuwa mashambulizi hayo, yame haribu fursa zakupata suluhu yaki siasa katika mgogo wa Syria amabo ume dumu kwa muda wa miaka misaba.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now