Vita vya maneno vya endelea kuhusu Syria

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron aki hotubia taifa

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron aki hotubia taifa Source: AAP

Marekani ime tangaza kuwa ita weka vikwazo vya ziada vyaki uchumi dhidi ya Urusi, kwa sababu ya msaada ambao Urusi ume mpa Rais wa Syria Bashar al-Assad pamoja na madai ya matumizi yake ya silaha za kemikali.


Tangazo hilo lime tolewa baada ya Marekani, Ufaransa na Uingereza, kushambulia Syria kwa makombora, kwa sababu ya madai kuwa serikali ya Syra ilitumia silaha za kemikali katika shambulizi mjini Douma.

Naye rais wa urusi Vladimir Putin, ambaye ni mshiriki wa karibu wa rais Assad, ameonya kuwa mashambulizi ya ziada kutoka mataifa ya magharibi dhidi ya Syria, ita leta uharibifu katika maswala ya dunia.

Rais Putin pamoja na mshiriki wake wa Iran, Hassan Rouhani wamesema kuwa mashambulizi hayo, yame haribu fursa zakupata suluhu yaki siasa katika mgogo wa Syria amabo ume dumu kwa muda wa miaka misaba.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service