Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Morrocco yapeperusha bendera ya Afrika kwa fahari katika kombe la dunia

Morroco.jpg

Morocco fans celebrate in Souq Waqif after getting through to the Round of 16 during the FIFA World Cup Qatar 2022 at on December 01, 2022 in Doha, Qatar.

Michuano ya kombe la dunia ilipoanza, bara zote za dunia zilikuwa na wawakilishi.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Michuano ya kombe la dunia ilipoanza, bara zote za dunia zilikuwa na wawakilishi.


Ila wawakilishi kutoka barazote wame kuwa wakipunguzwa mmoja baada ya mwingine, bara la Asia liki salia bila mwakilishi baada ya timu mbili za mwisho za bara hilo Japan na Korea Kusini kutupwa nje katika mechi zao za mwisho.

Robo fainali ya kombe la dunia nchini Qatar, itajumuisha timu 1 kutoka Afrika, 2 kutoka Kusini Marekani na timu 5 kutoka Ulaya.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now