Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wawakilishi wa wanasiasa wa Kenya, waelezea imani yao kwa ushindi

KENYA ELECTIONS

Wagombea wa wadhifa wa Rais wa Kenya kutoka kushoto; Prof George Wajackoya, David Mwaure, Dr William Ruto na Raila Odinga. Credit: AAp Image/John Ochieng/SOPA Images/Sipa USA

Hesabu za kura zilizo pigwa zina endelea nchini Kenya, ambako matokeo yake yanasubiriwa kwa hamu nama milioni ya watu.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Hesabu za kura zilizo pigwa zina endelea nchini Kenya, ambako matokeo yake yanasubiriwa kwa hamu nama milioni ya watu.


Nao wakenya wanao ishi nchini Australia, wame kuwa wakifuatilia kwa karibu, kampeni, upigaji kura na sasa hesabu za kura hizo.

Katika mazungumzo maalum kwenye jopo la uchaguzi mkuu wa Kenya, wawakilishi wa mirengo mikuu yakisiasa ya Kenya walifunguka kuhusu fursa za wagombea wao kuibuka washindi katika uchaguzi huo pamoja na matarajio ya uongozi wa vinara wa mirengo wanayo pendelea.

Kufikia wakati wakuchapisha makala haya, matokeo rasmi yalikuwa hayaja tangazwa na tume huru la uchaguzi wa Kenya IEBC. SBS Swahili itachapisha matokeo rasmi ya uchaguzi huo punde tutakapo yapokea.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now