Wawakilishi wa wanasiasa wa Kenya, waelezea imani yao kwa ushindi

KENYA ELECTIONS

Wagombea wa wadhifa wa Rais wa Kenya kutoka kushoto; Prof George Wajackoya, David Mwaure, Dr William Ruto na Raila Odinga. Credit: AAp Image/John Ochieng/SOPA Images/Sipa USA

Hesabu za kura zilizo pigwa zina endelea nchini Kenya, ambako matokeo yake yanasubiriwa kwa hamu nama milioni ya watu.


Nao wakenya wanao ishi nchini Australia, wame kuwa wakifuatilia kwa karibu, kampeni, upigaji kura na sasa hesabu za kura hizo.

Katika mazungumzo maalum kwenye jopo la uchaguzi mkuu wa Kenya, wawakilishi wa mirengo mikuu yakisiasa ya Kenya walifunguka kuhusu fursa za wagombea wao kuibuka washindi katika uchaguzi huo pamoja na matarajio ya uongozi wa vinara wa mirengo wanayo pendelea.

Kufikia wakati wakuchapisha makala haya, matokeo rasmi yalikuwa hayaja tangazwa na tume huru la uchaguzi wa Kenya IEBC. SBS Swahili itachapisha matokeo rasmi ya uchaguzi huo punde tutakapo yapokea.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Wawakilishi wa wanasiasa wa Kenya, waelezea imani yao kwa ushindi | SBS Swahili