Waziri Gwajima:"Tanzania haina mpango wakupokea chanjo ya COVID-19"

Dkt Dorothy Gwajima Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Tanzania

Dkt Dorothy Gwajima Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Tanzania Source: Ikulu Tanzania

Wizara ya Afya nchini Tanzania imesema Jumatatu haina mpango wa kupokea chanjo ya COVID-19 ambayo imekuwa ikiripotiwa kuwepo na kutumika katika mataifa mengine.


Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt Doroth Gwajima amesema : ““Wizara ya Afya haina mpango wa kupokea chanjo ya Covid 19 inayoripotiwa kuwepo na kutumika katika mataifa mengine, ifahamike kuwa Serikali kupitia Wizara ya Afya inayo taratibu za kufuata pale inapotaka kupokea bidhaa yoyote ya afya baada ya Serikali kujiridhisha hivyo kwa nia njema kabisa ni hadi tujiridhishe na si vinginevyo.”

Nako nchini Uganda, mwanasiasa Robert Kyagulanyi anayejulikana pia kwa jina lausanii Bobi Wine, amefikisha hoja mahakamani kuomba matokeo ya uchaguzi mkuu yafutwe, na uchaguzi mpya uandaliwe kwa sababu ya madai ya wizi wa kura.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Waziri Gwajima:"Tanzania haina mpango wakupokea chanjo ya COVID-19" | SBS Swahili