Wanachama wa serikali ya Waziri Mkuu Anthony Albanese, wanapokea kwa ukarimu ng’ambo kabla ya kongamano la NATO mjini Madrid wiki hii.
Waziri Mkuu amewashukuru wanajeshi wa Australia, wanao hudumu katika ukanda wa mashariki ya kati alipo tua mjini Dubai kwa muda aki elekea uhispania kushiriki katika mkutano.
Ila nyumbani, vita vilivyo ibuka kuhusu utoaji wa wafanyakazi wa wabunge huru vina subiri kutatuliwa.
Share






