Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Waziri Mkuu atembelea vikosi vya taifa Dubai akielekea katika kongamano la NATO

Waziri Mkuu Anthony Albanese, akutana na wanachama wa ADF katika kambi yakijeshi ya Al Minhad, UAE.

Waziri Mkuu Anthony Albanese, akutana na wanachama wa ADF katika kambi yakijeshi ya Al Minhad, UAE. Source: AAP Image/ LUKAS COCH

Wanachama wa serikali ya Waziri Mkuu Anthony Albanese, wanapokea kwa ukarimu ng’ambo kabla ya kongamano la NATO mjini Madrid wiki hii.


Published

Updated

By Hannah Kwon, Shuba Krishnan

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Wanachama wa serikali ya Waziri Mkuu Anthony Albanese, wanapokea kwa ukarimu ng’ambo kabla ya kongamano la NATO mjini Madrid wiki hii.


Waziri Mkuu amewashukuru wanajeshi wa Australia, wanao hudumu katika ukanda wa mashariki ya kati alipo tua mjini Dubai kwa muda aki elekea uhispania kushiriki katika mkutano.

Ila nyumbani, vita vilivyo ibuka kuhusu utoaji wa wafanyakazi wa wabunge huru vina subiri kutatuliwa.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now