Waziri Mkuu atembelea vikosi vya taifa Dubai akielekea katika kongamano la NATO

Waziri Mkuu Anthony Albanese, akutana na wanachama wa ADF katika kambi yakijeshi ya Al Minhad, UAE.

Waziri Mkuu Anthony Albanese, akutana na wanachama wa ADF katika kambi yakijeshi ya Al Minhad, UAE. Source: AAP Image/ LUKAS COCH

Wanachama wa serikali ya Waziri Mkuu Anthony Albanese, wanapokea kwa ukarimu ng’ambo kabla ya kongamano la NATO mjini Madrid wiki hii.


Waziri Mkuu amewashukuru wanajeshi wa Australia, wanao hudumu katika ukanda wa mashariki ya kati alipo tua mjini Dubai kwa muda aki elekea uhispania kushiriki katika mkutano.

Ila nyumbani, vita vilivyo ibuka kuhusu utoaji wa wafanyakazi wa wabunge huru vina subiri kutatuliwa.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service