Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Waziri watatu ajiuzulu nchini Rwanda, ndani ya wiki moja

Dkt. Diane Gashumba akila kiapo

Aliyekuwa waziri wa afya wa Rwanda, Dkt. Diane Gashumba akila kiapo Source: Dkt. Diane Gashumba

Aliyekuwa waziri wa afya wa Rwanda, Dkt. Diane Gashumba amejiuzulu.


Published

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Aliyekuwa waziri wa afya wa Rwanda, Dkt. Diane Gashumba amejiuzulu.


Kujiuzulu kwa Dkt. Diane Gashumba, kulithibitishwa na afisi ya waziri mkuu nchini humo.

Katika ujumbe uliochapishwa kwenye mtandao wa Twitter, afisi hiyo imesema kwamba kujiuzulu kwake kunatokana na makosa ya kawaida na mapungufu yake ya uongozi. Hatahivyo haikutoa maelezo zaidi kuhusu sababu zilizomlazimu kujiuzulu.

Kujiuzulu kwake kunajiri wiki moja tu baada ya mawaziri wengine wawili kutangaza kujiuzulu.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now