Bingwa wa ndondi za WBF Bruno Tarimo afunguka kuhusu mafanikio yake

Bingwa wa WBF Bruno Tarimo na taji lake

Bingwa wa WBF Bruno Tarimo na taji lake Source: Frank Mtao

Wengi walikuwa na mashaka kuhusu uwezekano wa bondia Bruno Tarimo kuwa na mafanikio, alipoondoka Tanzania kufuata ndoto zake za kuwa bingwa wa ndondi za WBF nchini Australia.


Ilimbidi adhibiti mashaka binafsi pamoja na ongezeko la wimbi la shinikizo za matarajio kutoka kwa mashabiki wake pamoja na wakosoaji alipoanza safari ya kutimiza ndoto zake kuwa bingwa wa ndondi nchini Australia. Image

Katika moja ya mahojiano machache ambayo amefanya kufikia sasa, Bruno alimueleza Frank Mtao wa SBS Swahili kuhusu uzoefu wake kama bondia nchini Australia.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service