Ripoti mpya ime baini kuna upungufu wa muda mrefu wa upatikanaji wa nyumba za bei nafuu, kwa wanao pokea malipo ya serikali.
Uchambuzi wa shirika la Anglicare Australia ume onesha wanao pokea msaada wa serikali, wanaweza mudu tu, asilimia 6 ya nyumba zaku panga ambazo zilikuwa sokoni mwisho wa Machi mwaka huu.
Share






