Mageuzi ya malipo ya ustawi, yawekwa kwenye ajenda baada ya vikao vya bunge kuanza

Ofisi inayo toa malipo ya ustawi nchini Australia

Ofisi inayo toa malipo ya ustawi nchini Australia Source: AAP

Bunge lime anza vikao tena wiki hii na waziri mkuu Scott Morrison, anaongoza kampeni yakutumiwa kwa kadi ya malipo nchini kote badala ya hela taslim.


Kampeni hiyo inajiri baada yakuwepo mpango, waku wafanyia vipimo vya mihadarati wanao pokea malipo ya ustawi.

Sera zote mpya za ustawi zinatarajiwa kutawala ajenda, vikao vya bunge vitakapo endelea wiki hii.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Mageuzi ya malipo ya ustawi, yawekwa kwenye ajenda baada ya vikao vya bunge kuanza | SBS Swahili