Bunge lime anza vikao tena wiki hii na waziri mkuu Scott Morrison, anaongoza kampeni yakutumiwa kwa kadi ya malipo nchini kote badala ya hela taslim.
Kampeni hiyo inajiri baada yakuwepo mpango, waku wafanyia vipimo vya mihadarati wanao pokea malipo ya ustawi.
Sera zote mpya za ustawi zinatarajiwa kutawala ajenda, vikao vya bunge vitakapo endelea wiki hii.
Share





