Kuelewa zaidi baadhi ya changamoto hizo, SBS Swahili ilizungumza na Bw Maurice Gikonyo, mtaalam wa IT ambaye alihamia nchini Australia hivi karibuni kutoka Kenya.
Bw Gikonyo alichangia mawaidha kuhusu jinsi yaku epuka kizuizi cha "kutokuwa na uzoefu wa kazi nchini Australia" ambacho huzuia watu wengi kupata ajira nchini.
Alichangia pia mawaidha ya jinsi mtu anaweza pata ajira anayo penda zaidi.
Changia maoni yako nasi: swahili.program@sbs.com.au
Share
