Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Ni changamoto zipi zina zuia vijana wa Kenya kupenya katika soko la ajira?

Maadhimisho ya miaka 53 ya Jamhuri ya Kenya
Maadhimisho ya miaka 53 ya Jamhuri ya Kenyae Source: Picha: Johana Mbere

Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Licha ya Kenya kuwa na maendeleo mengi kisiasa, kijamii naki uchumi.

Hata hivyo vijana wengi, licha yakuwa wengi wao wame hitimu bado wanakabiliana na changamoto yakupenya katika soko la ajira.

SBS Swahili ilizungumza na baadhi ya vijana kutoka Kenya, ambao walichambua changamoto hizo pamoja nakujaribu kupata suluhu.

 


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now