Watu wengi huweka siri jina la mgombea/chama ambacho wata pigia kura katika uchaguzi.
Hata hivyo, wapiga kura wengi huwa hawaja fanya uamuzi kuhusu watakaye mpigia kura, katika uchaguzi hadi dakika ya mwisho wanapo ingia ndani ya kituo chakupigia kura.
SBS Swahili ilizungumza na mpiga kura mmoja, kuhusu kinacho shawishi uamuzi wake, anapo chagua atakaye mpigia kura.
Share






