Visa vya shule kuteketezwa kwa moto vimeongekeza katika siku za hivi karibuni nchini Kenya. Wanafunzi katika baadhi ya shule hizo ndiwo wame laumiwa kwa visa hivyo.
Zaidi ya shule 100 za umma zime chomwa moto katika visa hivyo, na serikali ime apa kuwa wahusika wata chukuliwa hatua zaki sheria.
SBS Swahili ilizungumza na baadhi ya wa Kenya ambao hutuma ada ya shule nchini Kenya kwa jamaa wao.
Share
