Usajili wa wapiga kura kwa uchaguzi wa urais wa 2017 umeanza nchini Kenya.
Je wakenya wanao ishi ughaibuni wata jumuishwa katika hatua za usajili na kupiga kura baada ya miaka yakuto jumuishwa, au wata endelea kutazama kwa mbali?
Kwa uelewa zaidi kuhusu swala hili, SBS Swahili ilizungumza na Ali Badawy, mtangazaji wa One Mic Show, yenye makao makuu nchini Marekani, kuhusu hisia zawa Kenya wanao ishi marekani kwa swala hili.
Share
