SBS Swahili ilizungumza na baadhi ya wavulana wenye asili ya Kenya walio shiriki katika mafunzo na sherehe za jadi zinazo wavufusha kutoka kuwa vijana hadi wanaume.
Wavunala hao walichangia maoni yao kuhusu mafunzo waliyo pewa katika kundi hilo pamoja na hisia zao baada yaku tahiriwa.
Umuhimu wa shughuli hizo za jadi ni upi? bonyeza hapo juu usikie maoni ya wavulana hao.
Share
