Familia nyingi nchini Australia, huadhimisha siku kuu ya kina baba kila tarehe 1 Septemba.
Baadhi ya wanaume kutoka jamii zawa hamiaji, walieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS, umuhimu wakuadhimisha siku kuu ya kina baba.
Bofya hapo juu, kusikiza mahojiano kamili.
Share





