Bibi na babu wachangia chakula na wanao pamoja na wajukuu Source: Getty ImagesFamilia nyingi nchini Australia, huadhimisha siku kuu ya kina baba kila tarehe 1 Septemba.
Published
Updated
By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS
Skip to podcast episode contentShare this with family and friends
Familia nyingi nchini Australia, huadhimisha siku kuu ya kina baba kila tarehe 1 Septemba.
Baadhi ya wanaume kutoka jamii zawa hamiaji, walieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS, umuhimu wakuadhimisha siku kuu ya kina baba.
Bofya hapo juu, kusikiza mahojiano kamili.