Ni miaka 75 tangu wanawake walipo ingia ndani ya bunge la taifa.
Ila baadhi ya wataalam wamesema mfumo bado unafanyakazi katika hali ambayo inawapendelea wanaume.

Wanafunzi wanne wasiasa wakike, katika chuo cha Sydney, wajadili matarajio yao ya ajira katika siku za usoni Source: SBS
Ila baadhi ya wataalam wamesema mfumo bado unafanyakazi katika hali ambayo inawapendelea wanaume.

SBS World News