Timu za taifa za wanawake za Australia na India nazo zili ingia dimbani katika fainali yakombe la ICC T20 Kriketi mjini Melbourne ambako mbichi na mbivu zilibainika.
Yanga yaioa Simba katika uwanja wa taifa

Mashabiki wa Yanga washerehekea uwanjani Source: NYM
Wikendi hii kivumbi kilipaa katika uwanja wa taifa mjini Dar es Salaam, Yanga na Simba zilipo ingia dimbani.
Share