Vijana wa jamii yawa Kenya wa NSW kuwakilishwa na chama kipya

Waanzilishi wa kundi la Vijana kwa Yesu mjini Sydney, Australia

Waanzilishi wa kundi la Vijana kwa Yesu mjini Sydney, Australia Source: Picha: SBS Swahili

Vijana ndio viongozi wa kesho, wazee mara nyingi husema, vijana kutoka jamii yawa Kenya wanao ishi NSW walikutana hivi karibuni kujadili baadhi yamaswala wanayo kabiliana siku kwa siku.


Vijana hao pia wali unda chama kipya kitakacho wawakilisha ndani ya jamii pamoja naku andaa mikutano na tamasha kwa niaba ya vijana ambao ni wanafunzi wakimataifa na wenzao.

Waandalizi wa tukio hilo wali eleza SBS Swahili umuhimu waku unda chama hicho.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service