Vijana hao pia wali unda chama kipya kitakacho wawakilisha ndani ya jamii pamoja naku andaa mikutano na tamasha kwa niaba ya vijana ambao ni wanafunzi wakimataifa na wenzao.
Vijana wa jamii yawa Kenya wa NSW kuwakilishwa na chama kipya
Waanzilishi wa kundi la Vijana kwa Yesu mjini Sydney, Australia Source: Picha: SBS Swahili
Vijana ndio viongozi wa kesho, wazee mara nyingi husema, vijana kutoka jamii yawa Kenya wanao ishi NSW walikutana hivi karibuni kujadili baadhi yamaswala wanayo kabiliana siku kwa siku.
Share




