Yves "Silazima makampuni ya hifadhi data za wateja wao kwa muda mrefu"

Cyber Monitor

Cyber Monitor. DPA AFP Source: AFP, DPA / DPA AFP

Kampuni ya Optus imejipata mashakani hivi karibuni, baada ya mdukuzi kuchapisha mtandaoni taarifa ya wateja wa kampuni hiyo mtandao.


Mdukuzi huyo ame onya kuwa atachapisha taarifa zaidi zawateja wa Optus kama hata lipwa zaidi ya dola milioni moja.

Kujua zaidi jinsi taarifa za wateja wa Optus zilivujwa na jinsi watu wanaweza hakikisha usalama wa taarifa zao mtandaoni, SBS Swahili ilizungumza na mtaalam wamaswala ya IT Bw Yves aliyeweka bayana changamoto za data za wateja mtandaoni na kama kampuni zinastahili hifadhi data hizo kwa muda gani.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Yves "Silazima makampuni ya hifadhi data za wateja wao kwa muda mrefu" | SBS Swahili