Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Yves "Silazima makampuni ya hifadhi data za wateja wao kwa muda mrefu"

Cyber Monitor

Cyber Monitor. DPA AFP Source: AFP, DPA / DPA AFP

Kampuni ya Optus imejipata mashakani hivi karibuni, baada ya mdukuzi kuchapisha mtandaoni taarifa ya wateja wa kampuni hiyo mtandao.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Kampuni ya Optus imejipata mashakani hivi karibuni, baada ya mdukuzi kuchapisha mtandaoni taarifa ya wateja wa kampuni hiyo mtandao.


Mdukuzi huyo ame onya kuwa atachapisha taarifa zaidi zawateja wa Optus kama hata lipwa zaidi ya dola milioni moja.

Kujua zaidi jinsi taarifa za wateja wa Optus zilivujwa na jinsi watu wanaweza hakikisha usalama wa taarifa zao mtandaoni, SBS Swahili ilizungumza na mtaalam wamaswala ya IT Bw Yves aliyeweka bayana changamoto za data za wateja mtandaoni na kama kampuni zinastahili hifadhi data hizo kwa muda gani.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now