Yves "Ukiwa na wengine unaweza fika mbali zaidi"

Bw Yves, kiongozi wa vijana katika kongamano la muungano wamakanisa yawa Afrika mjini Sydney, Australia.jpg

Vijana wengi wenye asili ya Afrika, wame zaliwa naku kuwia katika mazingira yakidini, ila baadhi yao wanapo fika Australia. ndivyo wanavyo iacha dini hiyo nakujitenga na jamii zao.


Bw Yves, ni mmoja wa viongozi wa vijana kutoka jamii yawatu kutoka Afrika ya kati wanao ishi Australia. Katika mazungumzo maalum kwenye kongamano lakidini aliweka wazi umuhimu wa vijana kuendelea kushiriki katika maswala yakidini pamoja nakujumuika na wenzao.

Bw Yves alifunguka pia kuhusu umuhimu wa viongozi kuwa na mipango na mbinu mbadala, zakuwavutia vijana katika hali mbali mbali za maisha bila kutegemea dini tu kuwa kivutio.

Aliongozeza pia umuhimu wavijana kujumuika na wenzao, badala yakujitenga akisisitiza kuwa "mtu anaweza fika mbali akiwa mwenyewe, ila akiwa pamoja na wengine anaweza fika mbali zaidi."

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Yves "Ukiwa na wengine unaweza fika mbali zaidi" | SBS Swahili