Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Yves "Ukiwa na wengine unaweza fika mbali zaidi"

Bw Yves, kiongozi wa vijana katika kongamano la muungano wamakanisa yawa Afrika mjini Sydney, Australia.jpg

Vijana wengi wenye asili ya Afrika, wame zaliwa naku kuwia katika mazingira yakidini, ila baadhi yao wanapo fika Australia. ndivyo wanavyo iacha dini hiyo nakujitenga na jamii zao.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Vijana wengi wenye asili ya Afrika, wame zaliwa naku kuwia katika mazingira yakidini, ila baadhi yao wanapo fika Australia. ndivyo wanavyo iacha dini hiyo nakujitenga na jamii zao.


Bw Yves, ni mmoja wa viongozi wa vijana kutoka jamii yawatu kutoka Afrika ya kati wanao ishi Australia. Katika mazungumzo maalum kwenye kongamano lakidini aliweka wazi umuhimu wa vijana kuendelea kushiriki katika maswala yakidini pamoja nakujumuika na wenzao.

Bw Yves alifunguka pia kuhusu umuhimu wa viongozi kuwa na mipango na mbinu mbadala, zakuwavutia vijana katika hali mbali mbali za maisha bila kutegemea dini tu kuwa kivutio.

Aliongozeza pia umuhimu wavijana kujumuika na wenzao, badala yakujitenga akisisitiza kuwa "mtu anaweza fika mbali akiwa mwenyewe, ila akiwa pamoja na wengine anaweza fika mbali zaidi."

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now