Mwanzo mpya wa DR Congo

Rais mstaafu Kabila na rais mpya wa DR Congo Felix Tshisekedi

Rais mstaafu Kabila, amkabidhi rais mpya wa DR Congo Felix Tshisekedi uongozi wa taifa Source: AAP

DR Congo ilishuhudia hafla ya kukabidhiana mamlaka kwa amani kwa mara ya kwanza, hatua ambayo ilikuwa yaki historia katika taifa hilo la Afrika ya Kati tangu taifa hilo lipate uhuru. Wanachama wa jamii ya watu kutoka DR Congo, wanao ishi NSW walichangia maoni yao kuhusu tukio hilo laki historia na SBS Swahili.



Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service