Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Allan "napewa heshima sana Bathurst baada ya ushindi wa wakenya"

Allan (katikati) akiwa pamoja na wajumbe na mashabiki wa Kenya katika mashindano ya mbio za nyika za dunia mjini Bathurst, NSW, Australia.jpg

Allan (katikati) akiwa pamoja na wajumbe na mashabiki wa Kenya katika mashindano ya mbio za nyika za dunia mjini Bathurst, NSW, Australia.

Mji wa Bathurst, NSW kwa mara ya kwanza katika historia ulikuwa mwenyeji wa mbio za nyika za dunia.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Mji wa Bathurst, NSW kwa mara ya kwanza katika historia ulikuwa mwenyeji wa mbio za nyika za dunia.


Wanariadha kutoka nchi mbalimbali walijumuika mjini Bathurst tarehe 18 Februari 2023, kuwania taji kadhaa za riadha.

Kama ilivyo desturi wakenya waliwasili kwa kishindo nakuwaacha washindani wao wakiona visigino vyao, walipokuwa waki elekea kunyakua medali moja baada ya nyingine.

Allan ni mkaaji wa jiji la Bathurst, na katika mazungumzo maalum na SBS Swahili aliweka wazi fahari aliyopata kushuhudia mashindano hayo anako ishi pamoja na heshima anayo pata jijini humo baada yamatokeo chanya ya wanariadha wa Kenya.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now