Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Bunge la 46 la Australia lamaliza wiki ya kwanza ya vikao

Waziri Mkuu wa Australia Scott Morrison (kulia) na Kiongozi wa Upinzani wa Australian Anthony Albanese (kushoto) katika sherehe yakufungua bunge la 46 la shirikisho ya Australia

Waziri Mkuu wa Australia Scott Morrison (kulia) na Kiongozi wa Upinzani wa Australian Anthony Albanese (kushoto) katika sherehe yakufungua bunge la 46 la shirik Source: AAP

Bunge la 46 la Australia lime maliza vikao vyake vya kwanza wiki hii.


Kikao cha kwanza cha bunge kili jumuisha hafla zakitamaduni na sherehe, na hatimae chama cha mseto kili pata ushindi wake wa kwanza kupitia muswada wa makato ya kodi.

Hii hapa tathmini ya yaliyo jiri wiki hii katika siasa.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now