Katika wiki mbili zilizo pita, wanasiasa wa shirikisho wamekuwa wakijumuika na wapiga kura katika maeneo bunge yao. Hata hivyo serikali haija pata mapumziko yoyote wiki hii...
Wiki yakisiasa nchini ilikamilika kwa mkutano kati ya waziri mkuu na waziri wa NZ, Jacinda Ardern mjini Melbourne.