Delphin: "Nimekuwa nikijiuliza kwa nini hawataki tuongee kuhusu yaliyo fanyika 1994"?

Survivors Uncensored Kitabu chenye zaidi ya hadithi 100 kuhusu mauaji yakimbari ya 1994 Rwanda.jpg

Survivors Uncensored: Kitabu chenye zaidi ya hadithi 100 kuhusu mauaji yakimbari ya 1994 Rwanda Credit: Ribara Uwariraye

Wanachama wa jamii yawanyarwanda wame chapisha kitabu chenye zaidi ya hadithi 100 kuhusu waliyo shuhudia wakati wa mauaji ya kimbari ya 1994.


Baadhi ya wanachama wa jamii yawanyarwanda, wamefunguka kuhusu kitabu chao kipya kwa jina la: Survivors Uncensored.


Kitabu hicho kina zaidi ya hadithi 100 zinazo husu matukio waliyo shuhudia kabla, wakati na baada ya mauaji ya kimbari ya 1994 dhidi ya jamii yawa Tutsi nchini Rwanda.



Bi Delphin Yan na Bw Patrick Rubaga, ni miongoni mwa walioshiriki kuandika kitabu hicho, wame changia na SBS Swahili kilicho washawishi kuchangia hadithi zao katika kitabu hicho.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service