Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

George "Kenya iko katika hatari yakutokomea"

Polisi wakabiliana na raia wanao andamana sababu ya gharama ya maisha katika mtaa wa Nairobi, Kenya - 27 Machi 2023

Polisi wakabiliana na raia wanao andamana sababu ya gharama ya maisha katika mtaa wa Nairobi, Kenya - 27 Machi 2023 Credit: SOPA Images/Sipa USA

Jiji la Nairobi, Kenya kwa mara nyingine lime shuhudia mapambano makali kati ya jeshi la polisi na waandamanaji wanao taka serikali ishughulikie ongezeko la gharama ya maisha.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Jiji la Nairobi, Kenya kwa mara nyingine lime shuhudia mapambano makali kati ya jeshi la polisi na waandamanaji wanao taka serikali ishughulikie ongezeko la gharama ya maisha.


Jeshi la polisi lilipokuwa liki kabiliana na baadhi ya waandamanaji katika upande mmoja wa jiji la Nairobi, kundi la watu wasio julikana walikuwa wakivamia nakupora mifugo na mali katika shamba la Rais mstaafu Uhuru Kenyatta ambalo liko nje ya Nairobi bila polisi kuingilia kati.

Hali hiyo imezua maswali kuhusu utendaji wa jeshi la polisi la Kenya, ambapo baadhi yawatu wanahisi hatua zinachukuliwa kutegemea na mrengo wakisiasa ambao watu wanafuata.

SBS Swahili ilizungumza na mchambuzi wa maswala ya usalama nchini Kenya na Afrika Mashariki, Bw George Musamali kuhusu hali inavyo endelea nchini Kenya. Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now