Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mwaka mmoja watimia tangu mlipuko wa Ebola ulipotangazwa

WHO yafanya uchunguzi wa Ebola

Watu wafanyiwa vipimo vya Ebola kwenye kivukio karibu ya Kasinidi, mashariki DRC Source: AAP

Mtu wa pili ame uawa na Ebola katika mpaka wa Jamuhuri yakidemokrasia ya Congo na Rwanda.


Published

By Charlotte Lam

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Mtu wa pili ame uawa na Ebola katika mpaka wa Jamuhuri yakidemokrasia ya Congo na Rwanda.


Kifo hicho kimejiri wakati nchi hiyo inafanya kumbukumbu ya kwanza ya mlipuko mpya wa ugonjwa huo, na shirika la afya la dunia limetangaza ugonjwa huo kuwa ni dharura ya afya duniani.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now