Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Jeremiah "wahafidhina wanastahili acha kutumia Biblia kutafuta kura zetu"

Bw Jeremiah Aseka, mchambuzi wa maswala ya kisiasa kutoka Melbourne, Victoria.jpg

Baadhi ya wanachama wa jumuiya yawa Afrika wanao ishi Melbourne, Victoria wame kuwa waki kabiliana na wakati mgumu katika kipindi cha kampeni za uchaguzi wa jimbo na shirikisho.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Baadhi ya wanachama wa jumuiya yawa Afrika wanao ishi Melbourne, Victoria wame kuwa waki kabiliana na wakati mgumu katika kipindi cha kampeni za uchaguzi wa jimbo na shirikisho.


Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Hali hiyo imesababishwa pakubwa na kampeni hasi za baadhi ya vyama vya kisiasa, vinavyo tumia dhana potofu kuhusu vijana wenye asili ya Afrika kujaribu kuwavutia wapiga kura.

Katika uchambuzi maalum wa kampeni ya shirikisho iliyo kuwa hivi karibuni, Bw Jeremiah ambaye ni mkaaji wa Melbourne alifunguka kuhusu baadhi ya changamoto ambazo jumuiya zawa Afrika hukabili haswa wakati wa kampeni za uchaguzi.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now