Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Jinsi ya kukabiliana na unyanyasaji shuleni au mtandaoni

School bullying

Student being bullied at school Source: Getty

Kutoa mazingira salama na jumuishi ni dhamira ya msingi ya kila jumuiya ya shule ya Australia. Ila wazazi wanastahili fanya nini mtoto wao anapo nyanyaswa shuleni?


Published

Updated

By Zoe Thomaidou

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Kutoa mazingira salama na jumuishi ni dhamira ya msingi ya kila jumuiya ya shule ya Australia. Ila wazazi wanastahili fanya nini mtoto wao anapo nyanyaswa shuleni?


Na ni hatua gani wana stahili chukua kama unyanyasaji huo unafanyika mtandaoni?

Kusaidia kujibu maswali haya, tume waomba wataalam katika elimu, saikolojia na unyanyasaji wa mtandaoni majibu kwa ushauri na maarifa ya hivi karibuni.

Tabia ya unyanyasaji huja katika umbo tofauti na viwango vya madhara. Bila kujali hali, wataalam wamesema haistahili chukuliwa kirahisi.

Jisajili au fuata makala yaliyo rekodiwa ya Australia yafafanuliwa kwa taarifa muhimu na, vidokezo kuhusu kuanza maisha yako mapya nchini Australia.

Je una swali lolote kuhusu, au pendekezo ya mada? tutumie barua pepe kwa: australiaexplained@sbs.com.au 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now