Shirika la Kenyan Association of South Australia (KASA), huwakilisha nakutoa aina tofauti ya huduma kwa wakenya wanao ishi Kusini Australia.
Bw John Kamau Ngatia, ndiye mwenyekiti wa shirika la KASA, ali eleza SBS Swahili kuhusu baadhi ya miradi ambayo shirika lake ina fanyia kazi kwa niaba ya wanachama wake.
Share






