KASA: Yakuza uhusiano kati ya Australia na Kenya

Mwenyekiti wa KASA Bw John Kamau Ngatia katika mahojiano

Mwenyekiti wa KASA Bw John Kamau Ngatia katika mahojiano Source: John K Ngatia

Shirika la Kenyan Association of South Australia (KASA), huwakilisha nakutoa aina tofauti ya huduma kwa wakenya wanao ishi Kusini Australia.


Bw John Kamau Ngatia, ndiye mwenyekiti wa shirika la KASA, ali eleza SBS Swahili kuhusu baadhi ya miradi ambayo shirika lake ina fanyia kazi kwa niaba ya wanachama wake.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
KASA: Yakuza uhusiano kati ya Australia na Kenya | SBS Swahili