Kenya imetikiswa kwa vifo vya wanasiasa maarufu katika muda wa siku chache, baada yaku kabiliana na saratani.
Taifa hilo linakabiliana pia na kesi za ufisadi, ambako wanasiasa kadhaa wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya kashfa hizo.
Mwandishi wa Idhaa ya Kiswahili ya SBS mjini Nairobi, alituarifu yanayo endelea katika taifa hilo la mashariki ya Afrika.
Share






