Kenya yatikiswa kwa vifo vya wanasiasa

Dr Joyce Laboso na Ken Okoth

Aliye kuwa Gavana wa Bomet Dr Joyce Laboso, na aliye kuwa mbunge wa Kibra Ken Okoth Source: CFM

Kenya imetikiswa kwa vifo vya wanasiasa maarufu katika muda wa siku chache, baada yaku kabiliana na saratani.


Taifa hilo linakabiliana pia na kesi za ufisadi, ambako wanasiasa kadhaa wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya kashfa hizo.

Mwandishi wa Idhaa ya Kiswahili ya SBS mjini Nairobi, alituarifu yanayo endelea katika taifa hilo la mashariki ya Afrika.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service