Taifa hilo linakabiliana pia na kesi za ufisadi, ambako wanasiasa kadhaa wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya kashfa hizo.
Kenya yatikiswa kwa vifo vya wanasiasa

Aliye kuwa Gavana wa Bomet Dr Joyce Laboso, na aliye kuwa mbunge wa Kibra Ken Okoth Source: CFM
Kenya imetikiswa kwa vifo vya wanasiasa maarufu katika muda wa siku chache, baada yaku kabiliana na saratani.
Share