Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kenya yatikiswa kwa vifo vya wanasiasa

Dr Joyce Laboso na Ken Okoth

Aliye kuwa Gavana wa Bomet Dr Joyce Laboso, na aliye kuwa mbunge wa Kibra Ken Okoth Source: CFM

Kenya imetikiswa kwa vifo vya wanasiasa maarufu katika muda wa siku chache, baada yaku kabiliana na saratani.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Kenya imetikiswa kwa vifo vya wanasiasa maarufu katika muda wa siku chache, baada yaku kabiliana na saratani.


Taifa hilo linakabiliana pia na kesi za ufisadi, ambako wanasiasa kadhaa wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya kashfa hizo.

Mwandishi wa Idhaa ya Kiswahili ya SBS mjini Nairobi, alituarifu yanayo endelea katika taifa hilo la mashariki ya Afrika.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now